Nyumba nzuri sana ipo mbagala chamaz dovya a mtaa wa kisiwani jiji la dar esalam wilaya ya temeke
nyumba nzuri sana ina uzwa tsh million (55) tu
ukubwa wa eneo square miter (732)
kume pimwa upimaji shilikishi kuna documents ya mauziano ya office ya sirikali ya mtaa
vyumba vitatu vya kulala vyumba vyote ni masters bedroom ina sitting room na daining room na jiko pamoja na store
inakisima cha maji na umeme upo
kutoka barabara kuu ya lami kuja kwenye hii nyumba ni dakika (10) kwa mwendo wa miguu