Nyumba inauzwa.shule ya secondary chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.Nyumba hii unamaliziwa kila kitu(finishing)
Yote kwa bei hiyo tajwa hapo chini.
Bei yake shilingi milioni 68
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu