Nyumba inauzwa mbagala chamazi st Manuel wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Kwenye nyumba kubwa kuna vyumba vi tatu,sitting room, dining room, store na jiko.Uwani kuna chumba master na sebule.Pia ina flame mbili za biashara
Nyumba ina nafasi kubwa Sana wadau kama uonavyo pichani.
Pia utamaliziwa kila kitu kilichokua bado,ikiwemo kisima cha maji.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu