Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi nyumba ya vyumba 3vya kulala stingiroom dainingiroom kitchen toilet public master bedroom nyumba umeme upo maji yapo nyumba ina hati yake mauziano ya serekali ya mtaa ukubwa wa kiwanja sqm 400 nyumba inauzwa bei ml 85
078XXXXXXX