tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Biashara Inauzwa
Bagamoyo, Pwani, Chalinze, 29/07
2 maoni

Shamba Linauzwa Miono Pwan

+1
Ardhi ya Biashara
Aina
100sqm
Mita za mraba
Kibiashara
Matumizi ya Sifa
Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka
Vituo vya
Undeveloped
Development Status
Dirt Road
Access Road
Residential Licence
Kichwa
500000
Ada ya Utafiti
SHAMBA LINAUZZWA – MASIMBANI, MIONO, CHALINZE Fursa ya kipekee kwa wawekezaji, wakulima na wafugaji! Shamba lenye ukubwa wa hekari 100 linapatikana katika eneo lenye rutuba, linafaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali, ufugaji na uwekezaji wa muda mrefu. Mahali: Kijiji cha Masimbani, Kata ya Miono, Halmashauri ya Chalinze, Mkoa wa Pwani. Umbali: Kilomita 13 kutoka Miono. Sifa za Shamba: Ukubwa: Hekari 100 Umiliki: Hati ya Kijiji Udongo wa mweusi na mwekundu wenye rutuba nzuri. Eneo linafaa kwa kilimo cha mazao ya biashara na chakula pamoja na shughuli za ufugaji. Mazingira tulivu na yenye fursa nzuri za maendeleo na uwekezaji. Bei: TSh 300,000/= kwa kila hekari moja. Usikose nafasi ya kuwekeza kwenye shamba lenye thamani katika eneo linalokua kwa kasi la Chalinze.
Shamba Linauzwa Miono Pwan
TSh 30,000,000Outright Price
3 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif