Kiwanja kinauzwa, chenye sqm 1200
kiwanja kipo chalinze mjini, kata ya Bwilingu-A
kimepakana na Shule ya Msingi Bwilingu, upande wa kusini kimpaka pamoja na Shule ya Msingi Ridhiwani kikwete mkabala na Shule husika niliyotaja.
Bei elekezi ni Tsh28M, maongezi yapo tuwasiliane Kwa namba yangu hapo Kwa simu au WhatsApp kufanya biashara.