Shamba la ekari tatu linauzwa Bunju A
Ukubwa: ekari tatu
Ndani ya uzio
Mabwawa ya samaki
Kisima cha maji
Miundombinu ya umwagiliaji
Umeme upo
Mabanda ya kuku, Mbuzi na ng'ombe
Nyumba ya wafanyakazi
Kuna migomba ya ndizi
Bei: 500mil maongezi
Hatimiliki