HEKARI 2 ZINAUZWA – BUNJU B, DAR ES SALAAM
Fursa adhimu ya uwekezaji katika eneo lenye thamani kubwa na ukuaji wa haraka!
Mahali: Bunju B Ukubwa: Hekari 2 Eneo lote lipo ndani ya fensi Umiliki: Clean Title Deed Bei: TSh 2,000,000,000 (Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.)
Eneo hili linafaa kwa miradi mbalimbali kama vile makazi ya kifahari, apartment, hotel, shule, hospitali, commercial complex au uwekezaji wa muda mrefu.
Wasiliana nasi: