Nyumba nzuri ya Kisasa Inauzwa milioni 200 maongezi yapo IPO *BUNJU B* - Dar es salaam - Tanzania
Ina Vyumba Vinne vya Kulala kati hivyo Vyumba viwili ni self contenad
◇Master Bedroom
Sitting room
Dining room
◇ Kitchen
◇Store
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1200
◇document clean TITLE DEED ( Hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
◇maji safi dawasco umeme vyote vipo
◇Pia ina servant cotta ya chumba sebule na mastar yake
◇Nyumba ipo mtaa mzuri sana majirani wamepangika vyema sana
#Cal071XXXXXXX