Nyumba Kali ipo sokoni...
Ina vyumba 4 ,choo Cha ndani,sebule,jiko.
Ukubwa eneo sqm 400...
Umeme upo na maji ndani...
Nyumba ilikuwa Bado haijakamilika... kuweka rangi na seilling board... pamoja na kuweka wall putty tuuu...
Mmiliki anaishi hapohapo kwenye nyumba...
Umbali MITA 15 tuuu kutoka Barabara kuu ya mtaa...