Nyumba inauzwa Bunju A. Ina vyumba vitatu vya kulala,sitting room,dining kitchen public toilet, kuna banda la kufugia kuku, kuna kiwanja kingine pembeni, ipo umbali wa mita 600 toka barabara ya Rami bagamoyo road. Nyumba nzuri sana. Kiwanja chake sqm.1000. Kwenda kuona nyumba service charge tsh 50000/=
Karibu