Nyumba ina uzwa ipo mabwepande sacos
ina chumba sebule jiko choo pia ina kachumba kengine ambacho unaweza ukafanya kama chumba cha kulalia
nyumba ya kisasa ina umeme maji ilikua na mpangaji kahama
alikua ana lipa laki
nyumba ina kiwanja cha ukubwa sqm 500
pamepimwa ila hati bado
hii siya kukosa simu ziite maana
ina tupwa kwa hiyo bei