Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
IJipatie Mashamba makubwa na Madogo Mkoa wa Iringa yana hati (Title deed) mashamba ya kilimo cha kumwagilia.
1:Eneo Linauzwa
Location Udekwa Ukubwa acre 2000
Njia ya hifadhi ya udizingwa road toka ilula km 44
Bei 500,000/= kwa Acre
Huduma zote zipo barabara safi.Maji mto mkubwa. Eneo liko flat Kwa kulim
2:Shamba acre 40 zinauzwa
Location ilula mbigili barabarani eneo Lina faa Kwa kuweka sheli,viwanda na kilimo Cha umwagiliaji
Shamba lina maji ya visima bei Kwa acre
3:Shamba kubwa linauzwa
Location wotarisori
Ukubwa acre 2000
Shamba lipo km 2 tu toka kijijini bei 500000 Kwa acre
Shamba limezungukwa na mito mikubwa
Picha inbox utazipata
4:Shamba kubwa linauzwa
Loction:ifunda Kijiji magunga
Ukubwa :Acre 3000
Sifa:
Shamba lina hati za kimila
Shamba Tambalale lote
Shamba lina mito 2