Eneo linauzwa lipo kijiji cha bago kata ya kiwangwa wilaya bagamoyo linaukubwa wa heka 50 linafa kulima mazao yoyote au kufuga kisasa umbali kutoka lami kilometa 4 barabara safi mpaka shambani bei sh milioni moja na laki mbili kwa heka moja mawasiliano kalibuni sana kiwangwa yenye neema