Viwanja vinauzwa bagamoyo fukayosi karibu na kanisa la kkkt, na karibu na zahanati ya fukayosi
jumla ya ukubwa wa eneo ni ekar 3.5
viwanja vimepimwa na kila kiwanja kina ukubwa wa sqm 400+
bei ni shilingi 4,000 kwa sqm moja
unaweza nunua lote pia
ni umbali wa mita 150 tu toka main road (bagamoto msata road)
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link:
mahitaji yako ya nyumba / vyumba/maeneo ya biashara ... ya kupanga na kununua... mashamba/viwanja/ magari nk ... usisite wasiliana