Shamba linauzwa lipo kijiji cha bago kata ya kiwangwa halimashauli ya chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa pwani linaukubwa wa heka 40 linafaa kulima mazao ya aina yoyote au kufuga kisasa umbali kutoka lami kilometa 4 barabara safi mpaka shamba bei sh laki 9 kwa heka maja kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule asanteni sana