*eneo zuri sana na kubwa la kibiashara linauzwa
-location: ukuni, bagamoyo mjini
-ukubwa: hekta 2.02(eka 5)
-eneo hili linapakana moja kwa moja na barabara kuu ya dar es salaam - bagamoyo, upande wa kushoto unapoelekea bagamoyo.
-eneo lipo takribani kilomita 2 kutoka roundabout inayoelekea msata, tanga, arusha na maeneo mengine.
-eneo lina hati safi ya umiliki(clean title deed)
-kwenda site kuliona eneo ni wakati wowote, hakuna vizuizi.
-bei: usd 1.2m sawa na 3.24b, maongezi yapo