-Lodge ipo Bagamoyo, Kerege. Ina jumla ya master bedroom 17 na vyumba vyote Vina full A/C, kila chumba kwa siku kinakodishwa kwa Tsh.40,000/= na vinajaa ila kwasasa mmiliki ameamua kusitisha zoezi hilo na ameamua kuiuza mazima hiyo lodge.
-Eneo zima lina ukubwa wa Sqm 2865, ukitoa eneo lililojengwa lodge bado kuna baki eneo kubwa sana ambalo unaweza kujenga lodge nyingine Kama hiyo na yote iko ndani ya fensi. Hii lodge inatazamana na barabara kubwa ya Bagamoyo road. Mmililiki ni mmoja na inahati ya kisasa ya wizara.
-ndani ya miaka mitatu mpaka mitatu na nusu tayari utakuwa usharejesha pesa yako ambayo umenunulia lodge hii na tayari utakuwa umeshaanza kutengeneza faida ambayo ni ya kudumu.
-Video zote za eneo zima ninazo, nitafute kwa namba073XXXXXXX