*inauzwa: ardhi ya dhahabu (eka 3.8) shangarai / msorongo, arusha*
eneo hili la kipekee lenye ukubwa wa eka 3.8 linapatikana katika kijiji cha msorongo, kata ya ambureni, arusha. ni eneo lenye sifa za kipekee za asili linalouzwa kwa bei ya mazungumzo, likiwa tayari kabisa kwa ajili ya miradi mikubwa ya kibiashara na kitalii.
sifa za pekee za ardhi hii:
njia rahisi ya kufika (accessibility): unaingia mita 500 tu kutoka barabara kuu ya kwa pole.
shamba linafikika kwa urahisi wa kipekee kupitia barabara mbili zilizoshindiliwa vizuri sana: barabara ya kwenda ambureni na machumba road (inayoelekea cave falls / machumba falls). upande mmoja ni mita 500 na upande mwingine mita 800 tu mpaka shamban shamba lina mlima mzuri sana. . ni mahali sahihi kwa ajili ya kujenga hoteli au mgahawa (restaurant) wa