Mzigo wa facial mask umefika
kuna mtu mpk leo haujui faida na umuhimu wa facial mask kwenye sura yake basi unapitwa na kitu muhimu sana kwenye sura yako
**faida za facial mask usoni**
1.inaongeza unyevu kwenye ngovi
2.inakupa glass skin na ngozi huzidi kuwa soft
3.inakaza ngozi na kupunguza makunyazi
4:inasaidia kundoa chunusi na mabaka usoni
ukiweka usoni unakaa nayo ndani ya dakika 15 mpk 20 kwa week unatumia mara tatu
**bei zake*
1500kuanzia 100
2300 kuanzia 50
3000 kuanzia 20
3500 kuanzia 10