T-ELEK MODERN WiFi PRO
150Mbps 4G LTE – Pata internet ya kasi kwa browsing, video, social media na matumizi ya kila siku.
WiFi 6 – Teknolojia ya kisasa kwa connection yenye stability na performance nzuri.
SIM ya Mtandao Wowote – Tumia Tigo, Vodacom, Airtel au Halotel kulingana na mtandao unaopatikana eneo lako.
Vifaa hadi 12 – Unganisha simu, laptop, tablet na devices nyingine kwa wakati mmoja.
3000mAh Battery – Inafaa kwa matumizi ya portable bila kutegemea umeme muda wote.
USB Type-C – Kuchaji kwa urahisi.
Compact & Portable – Rahisi kubeba kwenda kazini, chuoni, biashara au safarini.
BEI: TSh 75,000/-
Arusha – Friend's Corner
|
T-ELEK — WiFi ya kwenda nayo popote!