hp probook 640 g2 – imefika!
intel core i5 generation 6
ram 8gb
ssd 256gb (kasi ya juu sana)
display ya inchi 14
windows 11 pro
betri imara na mwonekano safi
laptop bora kwa kazi za ofisini, biashara, masomo, browsing, zoom meetings na matumizi ya kila siku. inawaka haraka na kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na ssd ya 256gb.
bei: tsh 500,000 tu!
techtonics company ltd – friends corner, arusha.
piga/whatsapp069XXXXXXX