Model: HP EliteBook Folio 1040 G2
Processor: Intel Core i5
RAM: 4GB
Storage: SSD 128GB
Windows 11 Pro
Betri imara, inawaka kwa kasi kutokana na SSD, na ni nyepesi kubeba kila mahali. Mfululizo huu wa Folio unajulikana kwa ubora wa muundo wake wa biashara na utendaji mzuri kwa kazi za ofisini, masomo na matumizi ya kila siku.
BEI: TSH 400,000 TU!
Techtonics Company Ltd
Arusha – Friends Corner, karibu na CRDB Bank.
Wasiliana nasi069XXXXXXX