Go MOBILE TZ ni wauzaji wa simu aina zote kwa bei poa kabisa.
Kwa wakazi wa Dar es salaam mzigo utaletwa mahali ulipo na kwa wakazi wa mikoani mzigo utatumwa kwa uaminifu mkubwa sana.
Tembelea ukurasa wetu wa instagram gomobile_tz kujionea simu za aina mbalimbali au wasiliana nasi kupitia whatspp/call au.
Ofisi zetu ziko Mwenge tower opposite na Mlimani city.
"Quality At The Best Price"
Karibuni Sana