mashamba kuanzia hekari moja mpaka 10 yanapatikana,,,dodoma karibu na chuo kikuu cha udom. kijiji cha ndwene mpakani mwa kijiji cha ng'ong'ona . karibu na hospital ya Benjamin mkapa
njoo ujipatie kiwanja cha makazi ng'ong'onha (karibu na hospital ya Benjamin Mkapa ) pembeni na shule ya msingi ng'ong'onha ( Udom). ukubwa wa kiwanja ni miguu 16*16 bei poa sana
Nauza mashamba mpakani mwa chuo kikuu cha udom na hospital ya benjamin mkapa , kuanzia heka 1 mpaka 5 , heka 1 kwa mill 3 tuu. mashamba yote yamepimwa na yapo karibu na makazi ya watu, huduma za kijamii zinapatkana pia
Kiwanja kikubwa kinauzwa kipo pembeni na hospital ya benjamin mkapa dodoma udom ndani ya kijiji cha ng'ong'onha, kinakaribia nusu hekari, tayari kimepimwa, pia kimezungukwa na makazi ya watu. wahi ujipatie mape eema
Karibu ujipatie shamba lenye ukubwa wa hekari moja na nusu kwa bei rahisi sana, shamba lipo karibu na ring road, ni mita 40 kufikia barabara ya ring road. lipo pembeni ya chuo kikuu cha udom ng'ong'onha.
karibu sana
piga
Jipatie kiwanja cha makazi pembeni ya chuo kikuu cha dodoma udom pembeni na shule ya msingi ng'ong'onha urefu wa kiwanja ni hatua 35 upana 20,kiwanja kimepimwa kipo karibu na barabara kuu, pia kipo karibu na hospital ya benjamin mkapa dodoma . kimezungukwa na nyumba, huduma zoote za jamii zinapatikana
kiwanja kwa ajili ya makazi tuu, kipo sehemu ya mwinuko kidogo, karibu na barabara. huduma za kijamii zinapatikana mana kipo karibu na hospitali ya benjamini Mkapa (Udom)
Heka 6 za mashamba zinauzwa kwa pamoja, tayari zimepimwa, zinapatukana pembeni ya chuo kikuu cha dodoma luiko, kijiji cha ng'ong'onha, kama unataka kuwekeza muda ni huu sasa.
cont
karibu dodoma. heka moja ni mill 3 tu
viwanja vinapatikana mtaa wa ng'ong'ona Dodoma karibu na shule ya msingi ng'ong'ona, pembeni ya barabara kuu (ring road)
kuanzia sqm 400 mpaka sqm elf 2, kwa bai ya mill 1.5 mpaka mill 7. jipatie kiwanja kulingana na uwezo wako. Karibu sana udom
tayari ramani ya mipango mji imetoka njoo jipatie viwanja vilivyopo katikati ya mji ndani ya ng'ong'ona pembeni ya hospitali ya benjamin mkapa udom. kuanzia sqm 400 nakuendelea kwa bei nafuu sana
karibu ujipatie kiwanja mpakani mwa chuo kikuu cha UDOM upande wa Benjamin hosptipal Dodoma, kimepimwa na kipo ndani ya makazi ya watu. maongezi yapo kidoogo karibu
kiwanja kipo iyumbu mpakani mwa chuo cha UDOM na Benjamin Mkapa hospita, huduma zotee zakijamii zinapatikana,, kiwanja kipo pembeni ya barabara. pia ndani ya kiwanja kuna viwanja 4 vya sq2m 600,, wahi jipatie kiwanja iyumbu
nauza kiwanja miguu 40 kwa 40 kipo karibu na hospital ya Benjamin mkapa, kipo pembeni ya ring road yakwenda mjini (karibu na shule ya msingi ng'ong'ona )
kiwanja kipo karibu na hospitali ya Benjamini Mkapa udom(kinakarbia nusu heka) na tayari kimepimwa, kipo pembezoni mwa barabara kuu yakwenda Dodoma mjini, eneo lipo sehemu ya tambalale