NYUMBA INAUZWA NYAMHONGOLO
-nyumba ya kwanza ina chumba kimoja self contained, sebule na jiko
-nyumba ya pili ( boma ) ina vyumba viwili vya kulala kimoja ni self contained, sebule, jiko na public toilet
-ukubwa wa eneo ni 28x15 [ pamepimwa ]
-umeme na maji vipo
-bei ml 16
*simu