• Inasafisha na kufifisha pores kubwa
• Inatoa unyevu na kutuliza ngozi
• Ina AHA + BHA (kutoa seli zilizokufa), Panthenol, Allantoin na Hyaluronic Acid
• Inaboresha texture ya ngozi na kutoa mwonekano laini
Matumizi: Chukua padi moja na ufute uso baada ya kusafisha, asubuhi na/au jioni. Inafaa kwa ngozi yenye pores kubwa na mafuta.