Hello mambo vipi, tumekusogezea huduma ya forever gentle pride karibu yako wewe mwanaume unayesumbuliwa na ngozi baada ya kunyoa, hususan ndevu kwenye kidevu, shingoni na hata mashavu, vipele vingi hutokana na aina ya nywele tulizonazo, ni nywele ngumu hivyo unaponyoa kabisa zote muda wa kuota nywele inachomoza kwa shida sana kwenye ngozi, hapo ndipo nywele itakapojisokota ndani ya ngozi na ngozi kuanz kuwasha na kutengeneza vipele(bumps) kwenye ngozi na kuharibu muonekano wa sura yako, sasa tumia forever gentle pride ikunufaishe kwenye uotaji wa nywele na pia kukausha vipele na kuipa ngozi yako unyevu mzuri wa nywele kuota kwa ustadi, usisite tupigie au chat nasi whatsapp utaletewa mpaka ulipoCall