Tunauza chongeo za pencil doms original
maelezo:
jina: chongeo za pencil (sharpener)
brand: doms original
aina: single hole - ya kalamu ya kawaida
rangi: mix - kijani, bluu, njano, machungwa
ubora: blade kali, inachonga haraka na vizuri
material: plastiki ngumu haijivunjiki haraka
zinatumika:
shuleni, ofisini, kwa watoto wa nursery hadi chuo.
inafaa kwa kalamu zote za mbao za kuchora na kuandikia.
bei: box moja ni tsh 10000
punguzo kubwa kwa wauza jumala na maduka ya vitabu
hali: mpya kabisa kwenye kifungashio
mahali: morogoro urban
tunafikisha: mikoa yote tanzania