King’s Asali mbichi na nzuri isiyochakachuliwa kwa matumizi mbalimbali hata ikichanganya na vitu vingine kama mdalasini limao na tangawizi kutokana na hitaji la Mtu kutoka na faida nyingi za asali kama;
—kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo
—hamu ya tendo la ndoa
—kwenye ngozi
Bei
1kg Tsh 15000
Tunapatikana Morogoro Town& Dar es salaam pia mkoani tunatuma