MICHE YA NONI (Indian Mulberry)
Unatafuta mti wa dawa wenye faida lukuki kiafya? Tunakuletea miche ya NONI – maarufu kwa kutibu na kuimarisha afya ya mwili kwa asili kabisa!
Mahali Inapostawi:
Inastawi vizuri maeneo ya joto na unyevu kama vile:
Morogoro
Pwani
Kigamboni
Mikoa ya Pwani, Mashariki na Kati mwa Tanzania
Ardhini iliyo na rutuba ya wastani hadi ya kawaida.
Muda wa Kuzaa:
Mti wa noni huanza kuzaa matunda ndani ya miezi 12 hadi 18 baada ya kupandwa, kulingana na hali ya hewa na matunzo.
Unahitaji maji ya kutosha na kuzuia magugu ili ukue kwa haraka.
Bei ya mche mmoja: Tsh 10,000/=
Tunatuma mikoa yote kwa makubaliano.
Wasiliana nasi sasa:
Tunapatikana Morogoro mjini – karibu na Nashera Hotel.