* habari, leo tunawaletea miche bora ya cocoa kwa bei ya punguzo
* cocoa ni moja ya zao ambalo limekuwa ghali kwa sasa kilogram 1 imefikia kiasi cha tsh 26,500/=
* hii imesababishwa na kupungua kwa uzalishaji wa zao hili
* tunakukaribisha ww mkulima uje kujipatia miche bora kabisa kutoka kitaluni kwetu miche hii kwa sasa hivi utaipata kwa bei ile ile ya zamani ya tsh 4,000/=
* ukichukua kuanzia miche 100 utapata discount,,ambapo mche mmoja utauziwa kwa tsh 3,500/=
* unakaribishwa kuweka oder yako sasa,, tunapatikana morogoro mjini karibu na nashera hotel
* namba ya mawasiliano
ni068XXXXXXX