3 bedrooms house inauzwa, mikocheni - dar es salaam
.
• mahali: mikocheni b, barabara ya kuelekea chuo cha kodi
• hali ya nyumba: nzuri
• bei: tzs 380,000,000
• hadhi ya kiwanja: kimepimwa
• ukubwa wa kiwanja: 390 sqm
• nyaraka: hati
• kupelekwa kuona: tzs 20,000
• hakuna malipo ya kamisheni ya dalali
.
tanzawise estates
dar es salaam
.
inauzwa bila samani za ndani (unfurnished) • chumba kimoja master, viwili vya kawaida • sebule • mahali pa kulia chakula • jiko • washroom ya jumuiya • uzio • feni za juu • viyoyozi • inatazama lami
.
• visit our listing to find more and different properties.
• if you can't get enough of our properties, send a request of your choice through our contacts