FAIDA KATIKA MIMEA
1.Huzuia ukuaji wa fangasi ambao husumbua mimea.
2.Husaidia ukuaji wa viumbe vidogo vyenye manufaa kwenye udongo
3.Ukuaji wa haraka wa mizizi ya mimea, mashina na majani.
4.Huongeza kinga mmea kustahimili ukame na magonjwa.
6.Inaboresha muundo wa udongo na kuimarisha bioactivity ya udongo, kuongeza rutuba yake kwa zaidi ya miaka miwili.
7.Huongeza mavuno kwa zaidi ya 30% hadi 40%
8. Ni nafuu kwani lita 1 inatosha ekeri 10 na zaidi