House for rent at mbezi mwisho
.
.
Hapa kuna
》master kubwa
》sebule kubwa
.
.
Inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani
.
.
Kodi ni tshs 150,000/=x6
.
.
Nyumba ipo mbezi mwisho njia ya goba ukishuka kwenye gari ni mwendo wa dakika 5 mpka kwenye nyumba
.
.
Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri mnoo na pia ina parking ya kutosha mnoo
.
.
Karibu sana ujipatie kilicho bora kutoka kwa dalali msomi na muelewa
.
.
Service charger ni 10,000/= ambayo itadumu mpka upate