#apartment_for_rent mbezi kwa msuguri
.
.
Ina vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master,sebule kubwa,dining,jiko kubwa na choo cha familia .
.
.
.
Zipo apartment 3 kwenye eneo moja na hii moja ndio inapangishwa
.
.
Zipo mbezi kwa msuguri upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dakika 13 kwa miguu
.