Hizi apartment zipo 5 kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi kila apartment inajitegemea umeme ila maji mnashare kutokana na bill
.
.
Ina vyumba 2 vya kulala (Haina master), sebule kubwa,jiko na choo cha familia
.
.
.
ipo mbezi mwisho umbali wa dakika 10 kutoka morogoro road