Hizi apartment zipo 6 ila hazipo kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi kila apartment inajitegemea umeme na maji
.
.
Ina vyumba 2 vya kulala (Haina master), sebule kubwa,jiko na choo cha familia
.
.
.
ipo mbezi kwa msuguri umbali wa dakika 10 kutoka morogoro road