Vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master, sebule,jiko kubwa la kisasa na choo cha familia kwenye fensi moja zipo nyumba 4 na hii moja ndio ipo wazi na kila apartment inajitegemea kwa kila kitu zipo mbezi mwisho standa mpya kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 tuu kwa miguu