Pop Ceiling, Wardrobe, 24-hour Electricity, Dining Area, Balcony, Pre-Paid Meter, Hot Water, Microwave, Kitchen Cabinets, Tiled Floor, Chandelier
Facilities
Yes
Service Charge
20000
Agency Fee
400000
Caution Fee
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Isseke, Tanzania
Hii nyumba inajitegemea yenyewe kwenye fensi ina vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master, sebule kubwa, dining,jiko kubwa la kisasa na choo cha familia, garden,maji dawasa yanatoka ndani masaa 24 nyumba ipo kimara temboni upande wa kulia km unaenda Mbezi kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 kwa miguu njia ni rafiki kwa kila aina ya gari hadi kwenye nyumba bajaji sh 500 ukishuka tuu unapiga teke mlango