Nyumba mpya inapangishwa
.
.
Nyumba ina vyumba viwili (kimojawapo ni master), sebule,jiko na choo cha familia
.
Nyumba ipo mbezi mwisho njia ya mpigi magoe
.
Nyumba ni mpya na zipo tano kwenye compound moja ambazo zinajitegemea umeme na maji yapo na yanaflow ndani
.
.
Kodi ni 220,000/= kwa mwezi
Plus na hela ya dalali ambayo ni hela ya mwezi mmoja
.
Fensi ndio inajengwa na parking ya kutosha mnoo
.
.