#nice apartment for rent at mbezi mwisho
.
.
ina chumba kimoja cha kulala master bedroom, sebule kubwa,jiko na choo cha familia
.
.
zipo nne tu na kila apartment inajitegemea umeme na maji na fensi ndio inajengwa
.
.
bei ni 150,000/=x6
.
.
ipo mbezi mwisho njia ya goba kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri daladala au bajaji ni 500/=
.
.
na ukishuka ni unbali wa dakika 7 kutoka barabara ya lami ya goba