Aloe vera gel ni product chini ya forever living, kazi yake kuu 1. huondoa sumu na gesi mwilini. 2. huondoa taka mwili hivyo huboresha mmeng'enyo wa chakula. 3. hupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo, hivyo huondoa kichomi na kiungulia. 4. Inarutubisha ngozi yako kwa vitamin c na D kwa wingi hivyo hung'arisha ngozi. 5. inabalance acid mwilini kwa kuongeza base na kufanya mwili kuwa alkaline.
Vitamin c ni bidhaa iliyotengenezwa kwa machungwa halisi, vidonge 2 vya vitamin c ni sawa na machungwa8. Huongeza kinga za mwili hivyo kuepuka magonjwa ya mara kwa mara. Ina radha ya chungwa na huufanya mwili kuwa na nguvu na mwonekano mzuri