Property Investors Company (PIC) tunakutimizia ndoto na mipango yako ya kumiliki kiwanja Misugusugu Kibaha, vyenye sifa zifuatazo:
Viwanja vipo km 1.5 toka Morogoro road
Vipo karibu na checkpoint ofisi za wakala wa vipimo
Viwanja vimeshapimwa tayari
Huduma za kijamii zimeshafika
Vipo Viwanja vya ukubwa mbali mbali kuanzia SQM 244 mpaka 715
Bei Vinaanzia million 2.4 mpaka 6
Malipo ni cash au Kwa awamu ya mpaka mienzi 12
Ungependa kujua Miradi mingine tulonayo? Ni hii hapa: Pangani Kibaha,Kerege, Vikawe Kimele Baobab,Vikawe Mpiji,Bunju,Goba,Madale Mivumoni, Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo Kigamboni... Dodoma tuna Viwanja pia maeneo ya Ihumwa, Chahwa, Vikonje B Kwa Mzungu, Chidachi, Mahoma Makulu, Nala Chihoni, Nala Ringroad, Kitelela, Chamwino, Mtumba.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza,Katambe Street opposite na kanisa la KKKT