Property Investors Company (PIC) kampuni inayojishughulisha na uuzaji wa viwanja,inakuletea ofa ya viwanja eneo la Pangani Kibaha vyenye sifa zifuatazo:
Ni viwanja vizuri kwa ajili ya Makazi na biashara.
Vipo umbali wa Kilometre 4 toka stand ya maili moja na Morogoro road.
Bei Vinaanzia million 5 na kuendelea.
Ukubwa Vinaanzia SQM 375 na kuendelea.
Unaweza lipa cash au kwa awamu ya mpaka miezi4
Viwanja vyote vimepimwa tayari na utapata hati.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
Site tunatembelea kila siku.
Tuna miradi mingine maeneo ya Misugusugu Kibaha, Vigwaza, Vikawe-Kimele Baobab, Mapinga Bagamoyo, Madale Mivumoni, Bunju Mji mpya,Mbutu Kigamboni,Cheka Kigamboni, Chekeni Mwasonga, Kisota... Dodoma maeneo ya Chamwino Ikulu, Mtumba, Kitelela, Iyumbu,Chahwa,Nala Chihoni,Nala Lugala,Itega.