Nyumba hiyo ipo Kiluvya pale manispaa ya zamani, mwenyewe alikopa bank sasa ameshindwa kulipa na ameruhusu bank waiuze, na bank wanaiuza kupitia kwa broker, wanaiuza mil 110 tu, ukiwa upo kwenye nyumba Morogoro road unaiona- mpaka mil 100 anaweza uza na kuna ghorofa alafu kuna hiyo Godown nayo ni ghorofa pia Nina hati ya nyumba hii na document ya bank