NYUMBA INAUZWA KISESA
-ina vyumba vitatu vya kulala ( self contained moja ), sebule, dinning jiko na public toilet
-ukubwa wa kiwanja ni 30X20
-umeme, maji na barabara vipo
-bei Mil 18 ( maongezi yapo )
-nyumba ipo mtaa mzuri uliojengeka
Nipigie/Whatsapp/Text