ALOEVERA GEL JUICE . Inasaidia mwili wa binadamu kupambana na matatizo mabalimbali katika mwili Kuboresha mmengenyo wa chakula inasaidia kupunguza Acid Tumboni KUONDOA SUMU/TAKAMWILI zitokanazo na vyakula ,madawa ,Pombe ,Singara, nk Kurutubisha ngozi kwa kuondoa CELL zilizokufa na Kutengeneza mpya Msongo wa mawazo (Stress)n.kARGI+ n kirutubisho kizuri sana chenye l-arginine nyingi sana ambazo ni amino acids ambazo huzalisha nitric oxide mwilini, ni nzr kwa kuondoa cholesterol kwenye mishipa ya damu na pia ukiaji wa misuli imara na tissues, ni nzr sana pia kwa kukupa mifipa imara, ina vitamin D ambayo pia n viondosha sumu, kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu na pia kwa wanaume hukufanya uwe bora sana kwenye tendo la ndoa.