Viwanja vipo Vigwaza Mkoa wa Pwani karibu na bandari kavu ya Kwala.
Vipo umbali wa km6 toka Vigwaza Mizani.
Ni Viwanja vizuri Kwa biashara na makazi.
Bei rafiki cash 4,500/SQM na kwa installment bei 6,000/SQM.
Viwanja vimepimwa tayari na hati utapata.
Huduma za kijamii zimeshafika site.
Site tunatembelea kila siku hakuna charge.
Tuna miradi mingine maeneo ya Misugusugu Kibaha, Vikawe-Kimele Baobab, Pangani Kibaha Maili moja, Madale Mivumoni,Bunju Mji mpya, Mbutu Kigamboni,Cheka Kigamboni... Dodoma tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu,Mtumba, Msalato Airport, Kitelela, Mahoma Makulu,Nala Ringroad,Nala Chihoni.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza na Kwa Dodoma tupo Capital city mall.