Ni Viwanja vilivyopimwa tayari kwa hati.
Vipo umbali wa km6 toka Vigwaza mizani.
Vipo njia ya kwenda bandari kavu ya Kwala inayojengwa.
Bei zetu ni reasonable yaani 2,500 kwa square meter moja.
Unaweza lipa kwa cash au kwa awamu mpaka unamaliza.
Kutembelea site ni bure hakuna gharama.
Tunavyo Viwanja vya ukubwa mbalimbali.
Pia tuna miradi mingine ya Viwanja vilivyopimwa maeneo ya Misugusugu Kibaha,Pangani Maili moja Kibaha, Vikawe-Kimele Baobab,Vikawe mpiji, Bunju mji mpya, Madale Mivumoni, Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwasonga Kigamboni,Mwongozo Kigamboni... Dodoma maeneo ya Iyumbu,Chamwino, Kitelela, Mahoma Makulu, Nala Ringroad,Nala Chihoni, Chahwa.
Ofisi zetu Dar zipo nyuma ya Ubungo plaza, Dodoma zipo Capital city mall.